Skip to main content
Skip to main content

Serikali sasa yaahidi kuwaletea wakaazi huduma waliko Tuala

  • | Citizen TV
    118 views
    Duration: 3:10
    Ukosefu wa huduma muhimu kwa urahisi umeendelea kuwa changamoto kwa wakazi wa Tuala, eneo bunge la Kajiado mashariki, hali iliyowasukuma washikadau mbalimbali kuwaletea huduma hizo karibu na wananchi kupitia mpango wa huduma Mashinani.