Skip to main content
Skip to main content

Serikali ya kaunti ya Kajiado yatolea shule za upili ufadhili wa ksh. 50m

  • | Citizen TV
    105 views
    Duration: 1:37
    Wanafunzi 12,000 wa shule za sekondari na vyuo vikuu kutoka kaunti ya Kajiado wapata afueni ya karo baada ya wizara ya elimu ya kaunti hiyo kutoa shilingi million 50M kugharamia karo ya muhula wa pili ya wanafunzi hao.