Skip to main content
Skip to main content

Serikali ya kaunti ya Nandi imewahimiza kina mama wajawazito kupimwa virusi vya ukimwi mapema

  • | Citizen TV
    84 views
    Serikali ya kaunti ya Nandi imewahimiza kina mama wajawazito wawe wakienda hospitalini kufanyiwa vipimo mapema, kama njia moja ya kuwalinda watoto wachanga dhidi ya virus vya ukimwi.