14 May 2026 2:25 pm | Citizen TV 212 views Duration: 3:45 Serikali imeanza zoezi la uthibitisho wa kuwa wanufaishwa wote kwenye mpango wa ulinzi wa jamii wako uhai . Hatua hii imechukuliwa baada ya kubainika kuwa fedha nyingi zimepotea kupitia malipo kwa watu waliofariki.