Skip to main content
Skip to main content

Serikali yakagua iwapo wanufaishwa wote wa mpango wa ulinzi katika kaunti ya Kajiado wako hai

  • | Citizen TV
    212 views
    Duration: 3:45
    Serikali imeanza zoezi la uthibitisho wa kuwa wanufaishwa wote kwenye mpango wa ulinzi wa jamii wako uhai . Hatua hii imechukuliwa baada ya kubainika kuwa fedha nyingi zimepotea kupitia malipo kwa watu waliofariki.