Skip to main content
Skip to main content

Serikali yasema itawapa walimu wa JSS ajira ya kudumu 2026

  • | Citizen TV
    224 views
    Duration: 1:46
    Katibu wa Wizara ya elimu, Julius Bitok, amewahakikishia walimu wa sekondari msingi kwamba serikali itawapa ajira ya kudumu kunzia mwaka ujao wa kifedha.