15 May 2026 2:42 pm | Citizen TV 71 views Duration: 1:57 Kundi moja la wakulima latoa wito kwa serikali kuongeza ufadhili wa kutosha katika kilimo cha kimazingira, likitaja faida kubwa za kiafya na kimazingira zitakazopatikana kutokana na kilimo hicho.