Skip to main content
Skip to main content

Serikali yatathmini hali ya usalama wa KPSEA na KJSEA

  • | Citizen TV
    196 views
    Duration: 1:07
    Katibu wa Wizara ya usalama Dkt. Raymond Omollo ameeleza kuwa usalama ya mitihani ya kitaifa inayoendelea umedhibitiwa ambapo kufikia sasa hakuna visa vya utovu wa usalama vimeripotiwa kote nchini.