Skip to main content
Skip to main content

Serikali yatetea hatua za kudhibiti bei ya mafuta nchini

  • | Citizen TV
    1,231 views
    Duration: 3:20
    Huku soko la kimataifa la mafuta likiyumba kutokana na misukosuko iliyosababishwa na mzozo wa Mashariki ya Kati, waziri wa kawi Opiyo Wandayi amejitokeza kutetea hatua zilizochukuliwa na serikali ya Kenya. Wandayi anasisitiza kuwa bila mipango ya serikali ya kupunguza ushuru na mfumo wa G-to-G wa ununuzi wa mafuta, bei ya bidhaa hiyo muhimu ingefikia kiwango cha kuwa mzigo ambao wananchi hawangeweza kumudu.