Skip to main content
Skip to main content

Serikali yawahakikishia wapigakura usalama wao kesho

  • | Citizen TV
    418 views
    Duration: 1:26
    Waziri wa usalama Kipchumba Murkomen amewaonya vikali wanaopanga kuzua vurugu wakati wa uchaguzi mdogo hapo kesho. Kulingana na Murkomen , idara ya usalama iko macho kumtia nguvuni atakayevunja sheria za uchaguzi huku akiwataka wapigakura kuondoka vituoni mara tu watakapomaliza kupiga kura.