- 152 viewsDuration: 3:38Kilimo cha kutumia mashine na maandalizi sahihi ya ardhi bado ni muhimu katika uzalishaji wa mazao humu nchini. Ili kuhamasisha wakulima kuhusu mbinu za kisasa za kilimo na kuwapa ujuzi, Shirika la Maonyesho ya kilimo liliandaa shindano ambapo wakulima, wanafunzi na wadau wengine walishirikishwa. Mashindano hayo yalionyesha ubunifu katika maandalizi ya mashamba