31 Mar 2026 1:48 pm | Citizen TV 1,755 views Duration: 1:18 Shinikizo linaendelea kuongezeka kwa vyama tanzu vya muungano wa upinzani kukubaliana kuhusu ni nani atakayepeperusha bendera yao katika uchaguzi ujao wa mwaka 2027 na kumkabili Rais William Ruto.