Skip to main content
Skip to main content

Shinikizo linaendelea kuongezeka kwa vyama tanzu juu ya nani atakaye wania kiti cha urais

  • | Citizen TV
    1,755 views
    Duration: 1:18
    Shinikizo linaendelea kuongezeka kwa vyama tanzu vya muungano wa upinzani kukubaliana kuhusu ni nani atakayepeperusha bendera yao katika uchaguzi ujao wa mwaka 2027 na kumkabili Rais William Ruto.