Skip to main content
Skip to main content

Shirika la msalaba mwekundu lakamilisha mpango wa kusaidia kukomesha dhuluma Mlima Elgon

  • | Citizen TV
    179 views
    Duration: 1:57
    Baadhi ya wakazi wa milima elgon wameitaka serikali na mashirika ya kijamii kuendeleza vita dhidi ya dhulma za kijinsia baada mpango uliokuwa ukifadhiliwa na shirika la msalaba mwekundu kufikia tamati. Wakizungumza kwenye hafla ya sherehe za kufunga mpango huo kule Cheptais Mlima Elgon,wakazi hao walilipongeza shirika la msalaba mwekundu kaunti ya Bungoma na kusema juhudi zaidi zinahitajika ili kutokomeza dhulma za kijinsia eneo hilo.