Skip to main content
Skip to main content

Shirika lisilo la serikali laanzisha kampeni ya kulinda msitu wa Aberdare Murang'a

  • | Citizen TV
    107 views
    Duration: 2:07
    Shirika lisilo la serikali limeanzisha kampeni kubwa ya uhifadhi na upandaji miti katika msitu wa Aberdare. Kampeni hii ya kulinda Mazingira inalenga kuhamasisha jamii ambazo zimezunguka msitu huo wenye chemchemi nyingi na kando ya mito mikubwa ya aberdare.