Skip to main content
Skip to main content

Shule ya Nyabisase yakadiria hasara baada ya vurugu baina ya walimu na wanafunzi

  • | Citizen TV
    4,174 views
    Duration: 3:05
    Shule ya Nyabisase huko Kisii imeendelea kukadiria hasara, siku moja baada ya vurumai kati ya wanafunzi na walimu. Wasimamizi wa shule wakieleza namna mambo yalivyokuwa kabla ya wanafunzi na walimu kuanza kurushiana mawe, kwenye kisa kilichosababisha kufungwa kwa shule hiyo