- 11,541 viewsDuration: 3:25Tukisalia kwenye siasa za mpasuko wa chama cha chungwa, Katibu wa ODM Edwin Sifuna, ameashiria kuondokea wadhifa huo, akisema kuwa hataendelea kuhudumu chini ya uongozi anaoutaja kuwa hafifu. Akizungumza kwenye mkutano mbadala wa mrengo wa Linda Mwananchi, Sifuna amesema Kwamba hana Imani na Uongozi mpya wa ODM, hususan kwa sababu hawana msimamo kama Aliyekuwa Kinara wa chama hicho hayati Raila Odinga.