- 260 views
Idadi kubwa ya wanawake wanaoishi nje ya miji wameoneka kwenda hospitalini kutafuta matibabu ya saratani ya matiti wakati ambapo saratani hiyo imeenea sana. Hii ni kutokana na ukosefu wa hamasisho ya kutosha kuhusiana na ugonjwa huo ambao umeonekna kuchangia idadi kubwa ya vifo vya kina mama haswa wenye umri wa makamo. Katika siha na maumbile wiki hii mwanahamisi hamadi anatujuza mengi kuhusiana na saratani hiyo baada ya kuzuru kituo cha matibabu cha equity afia tawi la upperhill.
Siha na maumbile | Ugonjwa wa saratani ya matiti nchini
- 5 Aug 2025 - Quickmart Supermarket has suspended staff members involved in an altercation with two customers at its Buruburu branch, following allegations of mistreatment.
- 5 Aug 2025 - Quickmart Supermarket has suspended staff members involved in an altercation with two customers at its Buruburu branch, following allegations of mistreatment.
- 5 Aug 2025 - The Democracy for Citizens Party (DCP) led by former Deputy President Rigathi Gachagua, has officially unveiled its candidates for several upcoming by-elections.
- 5 Aug 2025 - Siaya County Deputy Governor William Oduol now proposes a dialogue to unlock the growing impasse between him and Governor James Orengo.
- 5 Aug 2025 - KMPDU has demanded the immediate shutdown of 13 hospitals in Kiambu County, citing a worsening healthcare crisis as the doctors’ strike in the devolved unit enters its 71st day.
- 5 Aug 2025 - Siaya Deputy Governor William Oduol has broken his silence over leadership wrangles rocking the county.
- 5 Aug 2025 - The incident, captured in a video that has since gone viral, shows two customers describing their experience
- 5 Aug 2025 - EACC National Ethics and Corruption survey of 2024
- 5 Aug 2025 - Kibera spirit meets devolution as counties rally behind youth tech agenda
- 5 Aug 2025 - The feature is set to revolutionalise how the messaging platform works.