Skip to main content
Skip to main content

Simanzi Kisumu baada ya watu watano wa familia moja kufariki

  • | Citizen TV
    3,785 views
    Duration: 1:51
    Biwi la simanzi limetanda katika kijiji cha Kitare, Seme, Kaunti ya Kisumu, kufuatia kifo cha watu watano wa familia moja waliofariki katika ajali iliyotokea Jumatatu eneo la Kikopey, Kaunti ya Nakuru.