Skip to main content
Skip to main content

Susan Nakhumicha asema atawania ugavana Trans Nzoia

  • | Citizen TV
    560 views
    Duration: 1:32
    Aliyekuwa Waziri wa Afya ambaye sasa ni Mwakilishi wa Kudumu wa Kenya katika shirika la umoja wa mataifa la UN-Habitat, Susan Nakhumicha, amejitosa katika ulingo wa kuwania kiti cha ugavana wa Kaunti ya Trans Nzoia kwenye uchaguzi mkuu ujao.