31 Mar 2026 1:56 pm | Citizen TV 1,522 views Duration: 1:50 Timu ya taifa Harambee stars imemaliza katika nafasi ya tatu kwenye mchuano wa fifa wa kirafiki kwa kuilaza grenada mabao matatu kwa nunge. Austine odhiambo, ryan ogam na zech obiero walifunga bao kila mmoja wao.