Skip to main content
Skip to main content

Timu ya taifa Harambee stars imemaliza katika nafasi ya tatu kwenye mchuano wa fifa

  • | Citizen TV
    1,522 views
    Duration: 1:50
    Timu ya taifa Harambee stars imemaliza katika nafasi ya tatu kwenye mchuano wa fifa wa kirafiki kwa kuilaza grenada mabao matatu kwa nunge. Austine odhiambo, ryan ogam na zech obiero walifunga bao kila mmoja wao.