- 7,723 viewsDuration: 57sRais wa Marekani Donald Trump amesema kwamba makubaliano ya kusitisha mapigano kati yao na Iran yamefutiliwa mbali na kuongezea kuwa mazungumzo na Iran ni “kupoteza muda.” Trump ameyasema hayo baada ya Iran na Marekani kushambuliana, huku pande zote mbili zikilaumiana kwa kukiuka makubaliano ya kusitisha mapigano #bbcswahili #marekani #trump Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw