Skip to main content
Skip to main content

Truphena Muthoni kuvunja rekodi ya kupiga mti pambaja saa 12.45 mchana

  • | Citizen TV
    33,173 views
    Duration: 5:13
    Mwendo wa saa sita na dakika ishirini na tano, Truphena Muthoni atakuwa ameweka rekodi mpya ya mtu wa pekee duniani kukumbatia mti kwa saa 72 bila kupumzika. Truphena, ambaye ameukumbatia mti ulioko nje ya afisi za gavana wa kaunti ya Nyeri anatarajiwa kuafikia lengo hilo hii leo katika siku ya tatu tangu kuanza kwa shughuli hiyo.