- 136 views
Tume ya maadili na vita dhidi ya ufisadi imewakamata washukiwa saba kati ya 13 kuhusiana na madai ya ufisadi kwenye kashfa ya ununuzi wa bidhaa za shilingi milioni 58.56 katika serikali ya kaunti ya Isiolo. Tume hiyo imedhibitisha kuwa uchunguzi huo unahusiana na zabuni ya kusambaza magari ya kuzima moto ambayo ilitolewa kwa njia isiyofaa kwa kampuni ya Drescoll katika mwaka wa fedha wa 2018/2019. Washukiwa hao kesho watafikishwa kwenye mahakama ya kushughulikia kesi za ufisadi huko Isiolo. Mwanahabari wetu Abdiaziz Hashim ana maelezo zaidi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Tume ya EACC yawakamata washukiwa saba kuhusiana na madai ya ufisadi katika kaunti ya Isiolo
- 30 Apr 2024 - The International Committee of the Red Cross (ICRC) has stabilised its finances after drastic crisis cuts, its new director said in comments published Monday.
- 30 Apr 2024 - Death and destruction in Mai Mahiu, Naivasha Nakuru County are the latest effects of the ongoing heavy rains.
- 30 Apr 2024 - Local official Olga Bobadilla told RPP radio the incident late Sunday happened on a potholed dirt road in the Andean region of Cajamarca, "and the bus fell into an abyss" some 200 meters (some 650 feet) deep.
- 30 Apr 2024 - The situation at the Kisumu bus terminus on Monday morning was dire, with tens of students with packed bags remaining stranded as their journey to school for the second term was cut short.
- 30 Apr 2024 - Heavy floods persistently ravage properties while also causing damage to roads and infrastructure, disrupting transportation services in numerous counties.
- 30 Apr 2024 - Yatani accuses EACC of malice over Sh1.2 billion graft probe
- 30 Apr 2024 - Kenyan retailers ready to pounce as Ethiopia to open up market
- 30 Apr 2024 - Public officers to join doctors in weekly protests
- 30 Apr 2024 - Logistics firm eyes bigger market pie after MSC pact, rebrand
- 30 Apr 2024 - Frustration, chaos after night school reopening change