- 473 views
Serikali ya Uingereza kupitia ubalozi wake hapa nchini umekashifu vikali dhulma za polisi kwa waandamanaji jijini nairobi. Kwenye taaarifa kwa umma, ubalozi wa uingereza umesema kuwa idara ya polisi ni sharti iwape wananchi matumaini na ulinzi hasa wakati wa maaandamano. Uingereza imesema inafedheheshwa na polisi kutumia nguvu za mabavu kuwadhulumu waandamanaji ambao hawana silaha. Uingereza pia inataka kuwe na uchunguzi wa haraka na huru dhidi ya maafisa wanaodhulumu waandamanaji.
Ubalozi wa Uingereza umeshutumu polisi kwa dhulma
- 8 Aug 2025 - Health Cabinet Secretary Aden Duale has suspended 40 health facilities after investigations revealed they were defrauding the Social Health Authority (SHA) system.
- 8 Aug 2025 - President William Ruto has announced a new government framework to compensate civilians and security personnel who suffered injuries or lost their lives during demonstrations and public protests in Kenya since 2017.
- 8 Aug 2025 - An altercation involving a senior police officer and his junior, believed to be romantically involved with the same woman, has left one of them dead in Kitengela, Kajiado County.
- 8 Aug 2025 - Every prime time, the news supply can be dizzying. Take our quiz to test how well you understood the week's most important stories.
- 8 Aug 2025 - This follows a BBC Eye documentary exposé.
- 8 Aug 2025 - Kericho MCAs have termed Governor Erick Mutais calls for the dissolution of the county government as reckless and tactics to evade accountability.
- 8 Aug 2025 - The mistake involved hundreds of millions.
- 8 Aug 2025 - Kenya Met urged Kenyans to be on the lookout for potential floods.
- 8 Aug 2025 - Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) officers based in Nakuru have arrested a Bomet County Assistant County Commissioner for allegedly demanding a bribe of Ksh. 20,000.
- 8 Aug 2025 - Cabinet Secretary Geoffrey Ruku has called on Kenyans to reject leaders promoting ethnic-based politics, warning that such divisive rhetoric threatens the country’s hard-won unity.