Skip to main content
Skip to main content

Ubashiri wa matokeo ya Arsenal, Manchester City na Chelsea katika Mtazamo wangu wikiendi hii

  • | BBC Swahili
    2,158 views
    Duration: 2:03
    Huku macho ya waafrika mashariki yakiielekea #Morocco kwenye #afcon2025 kusubiri mechi ya kufa kupona kati ya Taifa Stars ya #Tanzania na Cranes ya #Uganda, fundi wa mkeka, Yves Bucanna amekuandalia Mtazamo wake wa mechi za soka la ligi kuu ya England EPL wikiendi hii baada ya sikukuu ya krismasi. . Na mkeka ukijipa tuandikie kwenye comments - - - 📸:Getty #bbcswahili #soka #epl #kandanda #foryouSubscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw