- 515 viewsDuration: 3:14Shirika la kudhibiti maambukizi ya virusi vya HIV na magonjwa mengine nchini NSDCC,limedhibtisha kuwa asilimia arubaini ya maambukizi mapya ya HIV katika kaunti ya samburu ni vijana wenye umri wa kati ya miaka kumi na tano na ishirini na nne. Shirika hilo sasa limeanza kutumia michezo kutoa hamasisho kwa vijana kuhusu jinsi ya kujikinga.