- 3,184 viewsDuration: 2:37Wataalamu wa upelelezi wa jinai na wapasuaji wa maiti wameanza kufukua miili kutoka kwenye kaburi la pamoja linaloshukiwa kuwa na miili kumi na minne. Mfasuaji wa maiti wa serikali Dkt. Richard Njoroge anafanyia Kila mwili unaofukuliwa uchunguzi papo hapo ili kubaini chanzo cha kifo. Maafisa wa uchunguzi wa mauaji kutoka Idara ya DCI wanasimamia zoezi hilo la ufukuaji katika makaburi ya umma ya Makaburini, kaunti ya kericho.