- 375 viewsDuration: 3:01Wakulima wa mahindi wanaendelea kulalamikia uhaba wa mbolea ya kunyunyizia mazao yao, wakihofia kuwa hali hiyo huenda ikaathiri pakubwa mavuno yao. Wakulima eneo la Kitale sasa wanaitaka serikali kuchukua hatua za haraka kuhakikisha mbolea inapatikana ndani ya muda wa wiki mbili zijazo.