- 19,067 viewsDuration: 3:12Muungano wa wauza nyama katika eneo la North Rift umeripoti uhaba wa mifugo wa nyama, hali inayochangiwa na kupungua kwa idadi ya mifugo nchini. Wameitaka Wizara ya Kilimo kuweka mikakati madhubuti ya uzalishaji wa mifugo.