Skip to main content
Skip to main content

Ujenzi wa upanuzi wa barabara ya kutoka Rironi hadi Mau Summit unakaribia kukamilika

  • | Citizen TV
    10,721 views
    Duration: 1:42
    Madereva wanaotumia barabara kuu ya Nairobi kwenda Nakuru wameshauriwa kupanga safari zao kwa makini huku ujenzi unaoendelea wa upanuzi wa barabara ya kutoka Rironi hadi Mau Summit ukikaribia kukamilika.