Skip to main content
Skip to main content

Upepo mkali wapindua ndege uwanja wa ddege nchini Italia

  • | BBC Swahili
    13,659 views
    Duration: 20s
    Upepo mkali uliivuruga ndege katika Uwanja wa Ndege wa Forlì nchini Italia siku ya Ijumaa, hadi kuipindua moja ya ndege uwanjani hapo. Dhoruba hiyo ya ghafla ilisababisha upepo wenye kasi ya hadi km 120 kwa saa, na kusababisha shughuli za uwanja huo kusitishwa kwa muda. #bbcswahili #dhorubaitalia #upepomkali Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw