Ushuru wa Trump waanza kutekelezwa
Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa Marekani imeanza kupokea mabilioni ya pesa wakati ambapo ada mpya za kutuma bidhaa Marekani zimeanza kutekelezwa.
Zaidi ya mataifa 90 kote duniani yataathirika na ushuru huo. Dakika chache kabla ya saa sita usiku, Trump aliandikaa kwenye mtandao wake wa kijamii kwamba mabilioni ya dola yalikuwa yameshaanza kuingia Marekani .
Mataifa matano ya Afrika Lesotho , Afrika kusini , Nigeria, zambia na Zimbabwe yameathirika.
Afrika kusini sasa itatozwa ushuru wa asilimia 30 kwa bidhaa wanazotuma Marekani. Serikali ya Pretoria inasema itaendelea na biashara na Washington licha ya hali hiyo.
Je hii itaaathiri vipi uchumi wa mataifa husika?
@RoncliffeOdit anaangazia hili na mengine Mengi leo saa tatu usiku katika Dira ya Dunia TV, itakayokujia mubashara kupitia ukurasa wa YouTube BBC Swahili.
#bbcswahili #marekani #ushuru
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
7 Aug 2025
- This is after several complaints had been lodged.
7 Aug 2025
- The latest report has also revealed the exact number of deaths.
7 Aug 2025
- A report by the Auditor General revealed massive financial mismanagement at eCitizen.
7 Aug 2025
- The Social Health Authority (SHA) has spent over Ksh.56 billion in the past ten months to promote Universal Health Coverage (UHC) across the country.
7 Aug 2025
- As Galana Energies continues to celebrate its 25 years as a Kenyan owned and led oil marketing company, the firm is proud to commemorate the milestone and continue giving back to the community in a meaningful manner.
7 Aug 2025
- The Ministry of Labour and Social Protection has released over Ksh.4.6 billion to support more than 1.15 million vulnerable Kenyans under the Inua Jamii cash transfer programme.
7 Aug 2025
- Six people have been confirmed dead and at least two others injured after a light aircraft belonging to AMREF Flying Doctors crashed at a residential area in Mwihoko area of Kiambu County on Wednesday afternoon.
7 Aug 2025
- Two people have been confirmed dead and two others injured after a light aircraft belonging to the African Medical and Research Foundation (AMREF) crashed into residential buildings in the Mwihoko area of Ruiru, Kiambu County.
7 Aug 2025
- Several people are feared dead after a light aircraft crashed at Mwihoko area in Ruiru, Kiambu County.
7 Aug 2025
- Authorities confirm six people dead as investigations continue
7 Aug 2025
- “There're facilities in counties that charge Kenyans for treatment or medicine...It's not acceptable!"
7 Aug 2025
- What respondents said in a survey
7 Aug 2025
- This is after several complaints had been lodged.