Skip to main content
Skip to main content

'Usiwe samaki cheo ni dhamana'

  • | BBC Swahili
    59,882 views
    Duration: 25s
    Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amemuasa makamu mpya wa rais wa nchi hiyo Deogratius Ndejembi kutumikia taifa kwa utii na kuwa cheo ni dhamana. ameyasema hayo wakati wa hafla ya uapisho uliofanyika Ikulu ya chamwino huko Dodoma. - - #bbcswahili #siasa #RaisSamia Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw