Skip to main content
Skip to main content

Uwanja wa ndege wa Malindi utaanza kupanuliwa hivi karibuni

  • | Citizen TV
    4,092 views
    Duration: 1:34
    Serikali ya kitaifa imewahakikishia wakazi na wawekezaji katika eneo la Pwani kuwa upanuzi wa uwanja wa ndege wa Malindi utaanza hivi karibuni, hatua inayotarajiwa kukuza biashara na utalii na kuimarisha uchumi wa eneo hilo.