Skip to main content
Skip to main content

Uwanja wa Talanta kubadilishwa kuwa Raila Odinga International stadium

  • | Citizen TV
    14,248 views
    Duration: 3:02
    Uwanja mpya wa Talanta ambao bado unajengwa hapa jijini Nairobi utabadilishwa jina na kuitwa Uwanja wa Kimataifa wa Raila Amolo Odinga utakapokamilika mwezi Machi Mwaka Ujao. Rais William Ruto aliidhinisha uwanja huo kubadilishwa jina kama heshima kwa hayati Raila Odinga na mojawapo ya hatua za kutambua mchango wake katika kupigania haki za raia na demokrasia ya taifa.