Vijana wahimizwa kuchukua kitambulisho Busia

  • | Citizen TV
    266 views

    Vijana waliofikisha miaka 18 katika kaunti ya Busia wamehimizwa kujisajili kupokea kitambulisho cha kitaifa ili kushiriki katika shughuli mbalimbali za kitaifa, ikibainika kuwa idadi kubwa ya vijana katika kaunti hiyo ya mpakani hawana stakabadhi hiyo muhimu