Skip to main content
Skip to main content

Vijana zaidi ya 700 kutoka wadi 10 za Lamu kupokea fedha za kuanzisha biashara kwenye mradi wa NYOTA

  • | Citizen TV
    1,801 views
    Duration: 1:46
    Vijana zaidi ya 700 kutoka wadi 10 za Lamu wanatarajiwa kupokea fedha za kuanzisha biashara kwenye mradi wa NYOTA unaotekelezwa na Serikali Kuu.