- 81 views
Baadhi ya viongozi kutoka kaunti ya Tana River wamehimiza jamii mbali mbali ZInaoishi kwenye kaunti hiyo kudumisha amani wakati huu na kabla ya uchaguzi mkuu. Viongozi hao ambao walizungumza mjini Madogo katika hafla moja ya harusi walisema kaunti ya Tana River ina historia mbaya ya vita vya kijamii ambavyo vimepelekea kupotea kwa maisha ya watu wengi kutokana na sababu za kisiasa na ugomvi kuhusu umuliki wa ardhi. Aidha waliwatahadharisha wenyeji kujiepusha na viongozi wanaotumia migawanyiko ya jamii kwa manufaa yao ya kisiasa.
Viongozi Tana River wahimiza umuhimu wa amani nchini
- 8 Jul 2025 - President William Ruto has expressed Kenya's commitment to combat the escalating global climate crisis.
- 8 Jul 2025 - Seven suspects accused of leading the arson attack on Mawego Police Station in Homa Bay County during protests over the death of blogger Albert Ojwang have been arraigned before the Oyugis Law Courts.
- 8 Jul 2025 - The Director of Public Prosecutions (DPP) has approved terrorism charges against 37 individuals arraigned at the Kahawa Law Courts, including Peter Kinyanjui Wanjiru, alias Kawanjiru, and Serah Wanjiku Thiga.
- 8 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki has said the government is enhancing partnerships with global technology companies to create more job opportunities for the youth.
- 8 Jul 2025 - The government has launched a fresh crackdown targeting foreign nationals from Burundi, Rwanda, the Democratic Republic of Congo (DRC), and Uganda’s Wagisu community residing in West Pokot County, over suspected involvement in cannibalism and human organ…
- 8 Jul 2025 - 36 suspects were arraigned on Tuesday at the Eldoret law court with charges of being in possession of weapons in public contrary to section 88 of the penal code.
- 8 Jul 2025 - The European nation announced plans to increase its diplomatic presence abroad to four more countries in 2023.
- 8 Jul 2025 - They accused the Ruto regime of maiming and killing Kenyans.
- 8 Jul 2025 - The Cabinet Secretary for Health, Aden Duale, has vowed to end the practice of bed-sharing among patients in public health facilities to promote quality healthcare across the country.
- 8 Jul 2025 - Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi on Tuesday, July 8, 2025, held a closed-door meeting with Central Organisation of Trade Unions (COTU) Secretary General Francis Atwoli. The meeting, which took place at Mudavadi’s office, focused on key national…