- 440 viewsDuration: 2:20Viongozi wa dini ya Kiislamu kutoka Magharibi mwa Kenya na Kaskazini mwa bonde la ufa wemelaani vikali visa vya vurugu na uharibifu vilivyoshuhudiwa wakati wa uchaguzi mdogo kote nchini na kuitaka serikali kuziba mapema mianya ya vurugu kabla ya uchaguzi mkuu ujao