- 35,181 viewsDuration: 3:23Mrengo wa linda mwananchi umepeleka siasa zake kaunti ya Mombasa ambako katibu mkuu wa ODM Edwin Sifuna amesema kamwe hawezi kuhuduu chini ya kinara wa ODM Oburu Oginga. Wanasiasa hawa pia wamewakosoa wenzao walio serikali wakisema wameshinda na msimamo wa kuwaokoa wakenya. Wameendeleza wito kwa vijana kujisajili kuwa wapiga kura.