Skip to main content
Skip to main content

Viongozi wa Turkana wataka serikali irejeshe amani Kainuk

  • | Citizen TV
    153 views
    Duration: 1:41
    Viongozi wa Turkana wametoa wito kwa serikali na wizara ya usalama wa ndani zitilie mkazo kuhakikisha usalama umerejea Kainuk, ili kuhakikishia wakaazi usalama wao Kwa kuwa eneo hilo limezidi kudorora kutokana na utovu wa usalama.