- 3,099 viewsDuration: 3:02Haya yakijiri, viongozi wa Kenya Kwanza wameshutumu upinzani kwa kutumia sakata ya mafuta kutetea kampuni moja iliyohusishwa na sakata ya uagizaji wa petroli. Wakiongozwa na kiongozi wa wengi kimani ichungwa, viongozi hao waliokuwa kilifi wamesema serikali itaendelea kukaza kamba kuhakikisha kuwa mali ya umma haitafujwa.