- 1,674 viewsDuration: 2:16Viongozi wa upinzani wanamtaka katibu katika wizara ya usalama daktari Raymond Omollo ajiuzulu baada ya seneta wa Vihiga Godfrey Osotsi kusambuliwa katika hoteli moja jijini Kisumu. Kulingana nao, idara ya usalama inafahamu fika wahuni wanaoshambulia watu ambao wanapinga serikali huku Osotsi akieleza yaliyojiri.