- 126 viewsDuration: 2:56Viongozi katika sekta mbalimbali na wajasiriamali kote nchini wamepewa changamoto kuongeza uwekezaji katika uvumbuzi na kujiimarisha kupitia nafasi katika nyanja ya dijitali, ili kuimarisha ustawi na kustahimili shinikizo za kiuchumi zilizopo. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive