Skip to main content
Skip to main content

Viongozi wataka uchunguzi uharakishwe dhidi ya kifo cha mwalimu mkuu wa shule ya upili ya Munyuki

  • | Citizen TV
    741 views
    Duration: 1:40
    Viongozi mbalimbali wameitaka Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) kuharakisha uchunguzi kuhusu kifo cha Mwalimu Mkuu wa Shule ya Upili ya Munyuki, Simon Shange Isiaho.