Skip to main content
Skip to main content

Vita dhidi ya pombe haramu Makueni

  • | Citizen TV
    884 views
    Duration: 1:17
    Polisi wamemkamata mtengenezaji wa pombe haramu na kunasa lita elfu tano za pombe haramu ijulikanayo kama 'bikisodo' zimeharibiwa katika eneo la Mashuru mjini Emali mpakani mwa kaunti ya Makueni na Kajiado.