Skip to main content
Skip to main content

Waathiriwa jijini Nairobi waanza maisha yao upya

  • | Citizen TV
    3,295 views
    Duration: 2:39
    Shughuli za kawaida zimeanza kurejea kawaida katika maeneo mengi ya Nairobi, ambako maafa ya mafuriko ya Ijumaa usiku yalishuhudiwa. Picha za angani zikionyesha kiwango cha uharibifu huku maji yakiwa bado yamejaa katika baadhi ya maeneo ya mijini.