30 Mar 2026 7:50 pm | Citizen TV 1,852 views Duration: 1:01 Waathiriwa wa shambulizi la bomu la mwaka wa 1998 kwenye ubalozi wa Marekani hapa Nairobi wameelekeza malalamishi yao kwenye mahakama ya rufaa, kupinga uamuzi wa mahakama kuu uliotupilia mbali kesi yao.....