- 1,614 viewsDuration: 3:06Baadhi ya wabunge kutoka eneo la magharibi mwa kenya wamemtaka inspekta jenerali wa polisi douglas kanja kuwakamata mara moja wahuni waliomvamia seneta wa vihiga godfrey osotsi. Wabunge hao walikashifu kisa ambacho seneta huyo alivamiwa hapo jana adhuhuri katika mkahawa mmoja kule kisumu.