Skip to main content
Skip to main content

Wadau wa afya Nairobi wameitaka serikali kuongeza hamasa kuhusu umuhimu wa SHA

  • | Citizen TV
    233 views
    Duration: 1:37
    Wadau wa afya katika kaunti ndogo ya kasarani, jijini Nairobi, wameitaka serikali kuongeza hamasa kwa wananchi kuhusu umuhimu wa kujiunga na bima ya afya ya jamii, SHA