Skip to main content
Skip to main content

Wadau wa elimu Limuru wataka serikali kujizatiti kuhakikisha ufadhili wa elimu unatolewa kwa wakati

  • | NTV Video
    12 views
    Duration: 1:12
    Wadau wa elimu kutoka eneo la Limuru wameitaka Wizara ya Elimu kuhakikisha kwamba ufadhili wa elimu kwa shule za umma unatolewa kwa wakati ili kupunguza mzigo unaowakabili wazazi wengi, ikiwemo ongezeko la karo mara kwa mara. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows. Website: https://www.ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya